Hatimaye
jeshi la polisi limeruhusu kufanyika kwa maandamano ya waandishi wa
habari mkoani Dar es salaam kesho,kilele chake kitakuwa ni katika
viwanja vya Jangwani, awali yalikuwa yaishie viwanja vya mnazi
mmoja.Kamanda kova athibitisha kuwepo kwa maamuzi hayo baada ya
vutanikuvute. Endelea kufuatana nasi
CHANZO:MWANANCHI

No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake