Friday, September 21, 2012

FOLENI YA MAGARI ASUBUHI HII DAR


 Hapa ilikuwa ni full mafoleni yani hakuna magari kusogea mbele 
 Hebu cheki haya magari yameacha foleni yameamua kukatiza mitaani tuu bila hata kujua kama kuna hatari za wapita njia.
Hapa pia ni kona zengine pande za Dar wadau wapo tayari kupita maporini lakini wafike wanapo elekea.
Picha zote na www.blogszamikoa.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake