Saturday, January 19, 2013

MAWAZIRI WABAINI UFISADI MKUBWA BANDARINI

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (katikati) akimkaribisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda walipofanya ziara ya kawaida ya mawaziri wanne ya kutembelea Mamlaka ya Bandari, Dar es Salaam leo. Wa tatu kushoto ni Waziri wa Fedha, Dk. William Mngimwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande aliye kushoto kwa Dk. Mwakyembe. (Picha habari na www.mwaibale.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake