Nadhani watu wako free kujadili hali ya elimu nchini.Lakini ni vizuri kukiri kwamba ili kuelewa kiini cha tatizo lolote ni lazima kutafiti kitaalamu hii ina kuhusisha stakeholders katika ngazi zote, especially wanafunzi,waalimu, wazazi,fund provider both private and public n.k Utafiti wa aina hii ikifanyika vizuri utatawawezesha wanaopenda kuchangia mawazo au kifedha kuelewa current facts kuhusu matatizo then kujadili effective and feasible ways ya kusaidia.
Nadhani watu wako free kujadili hali ya elimu nchini.Lakini ni vizuri kukiri kwamba ili kuelewa kiini cha tatizo lolote ni lazima kutafiti kitaalamu hii ina kuhusisha stakeholders katika ngazi zote, especially wanafunzi,waalimu, wazazi,fund provider both private and public n.k Utafiti wa aina hii ikifanyika vizuri utatawawezesha wanaopenda kuchangia mawazo au kifedha kuelewa current facts kuhusu matatizo then kujadili effective and feasible ways ya kusaidia.
ReplyDeleteulotu