Friday, June 21, 2013
HII NDIO BONGO DAR-ES-SALAAMA YA JIJI LA NEEMA
Baadhi ya watumiaji wa barabara wakijaribu kukwepa mashimo ya maji taka ya chooni yaliyotuama baada ya moja ya chemba ya maji hayo katika Mtaa wa Swahili Kariakoo kujaa na kumwaga maji barabarani huku shimo hilo likikosa mfuniko.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake