Saturday, June 22, 2013

KOFFI OLOMIDE 'MOPAO' APATA AJALI

Mopao Mokonzi alipata ajali jana (21 june)  akiwa ndani ya gariyake akienda kupiga concert huko sehemu za Mbanza Ngungu @René, Congo. Ila yupo salama
 Inasemekana chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa nguli huyo wa miondoko ya kicongo.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake