Wednesday, June 19, 2013

PROF, MRISHO ALA NONDO KATIKA CHUO KIKUU CHA SAN FRANCISCO CALIFORNIA

 Pichani prof Mrisho akitabasamu baada kupokea shahada ya juu ya Ya Elimu ya Kifaransa katika mahafali yaliyofanyika hivi karibuni katika chuo Kikuu cha San Francisco California.
 Katika picha ya pamoja na Maprofesa waliomsaidia na kuhakikisha anapata shahada ya Udaktari.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake