Sasa wewe ndugu unataka Supu ya samaki iwe na shombo ya kuku au ng'ombe?...watu wengine kwani lazima ukomment?....mi nimekula hiyo jana pale Kilimanjaro ilikuwa swaaaaaaafi kisamakisamaki zaidi!
Tafauti ipo kwenye utaalamu wa kutumia spices ukipata mpishi mzuri anaejua kucheza na spices ule ukali wa shombo unaondoka kwa asilimia kubwa na jengine zaidi pia inatemeana na aina ya samaki uliemtumia kupika hio supu
supu ya samaki nijuavyo mimi huwa inashombo sana ya samaki any advice huenda nikawa nimekosea
ReplyDeleteSasa wewe ndugu unataka Supu ya samaki iwe na shombo ya kuku au ng'ombe?...watu wengine kwani lazima ukomment?....mi nimekula hiyo jana pale Kilimanjaro ilikuwa swaaaaaaafi kisamakisamaki zaidi!
ReplyDeleteTafauti ipo kwenye utaalamu wa kutumia spices ukipata mpishi mzuri anaejua kucheza na spices ule ukali wa shombo unaondoka kwa asilimia kubwa na jengine zaidi pia inatemeana na aina ya samaki uliemtumia kupika hio supu
ReplyDelete