Off target: Daniel Sturridge show his anguish after missing a chance
BAO pekee la Dejan Lovren limeipa Southampton ushindi wa 1-0 Uwanja wa Anfield dhidi ya wenyeji Liverpool leo. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Croatia alifunga bao hilo dakika ya 54 na kumaliza rekodi ya Liverpool kutofungwa ndani ya mechi 12.Mshambuliaji Luis Suarez, alikuwepo jukwaani akishuhudia mechi yake hiyo ya mwisho katika adhabu ya kufungiwa mechi 10 na sasa anarejea uwanjani. Pamoja na hayo The Saints, inabidi wamshukuru refa Neil Swarbrick aliyewanyima Liverpool penalti baada ya beki wao kumuangusha Daniel Sturridge kwenye eneo la hari kipindi cha kwanza.
Kikosi cha Liverpool kilikuwa: Mignolet, Toure, Skrtel/Alberto dk72, Agger/Enrique dk56, Sakho, Gerrard, Lucas, Henderson, Aspas/Sterling dk46, Moses na Sturridge.
Southampton: Boruc, Clyne, Lovren/Fonte, Shaw, Wanyama, Schneiderlin, Rodriguez/Cork dk89, Lallana/Ward-Prowse dk75, Osvaldo, Lambert/Davis dk61. Brilliant win: Dejan Lovren scored the only goal of the game as Southampton ended Liverpool's
unbeaten start to the season

On target: Saints players cheer as Lovren's header hits the back of the net

Great scenes: Lovren takes the plaudits from the Southampton

Home debut: Victor Moses made his first appearance at Anfield in red

Tussle: Kolo Toure and James Rodriguez battle for possession

Strike: Steven Gerrard hits a free kick

Battle: Mamadou Sakho and Nathaniel Clyne vie for the ball

Watching on: Luis Suarez watches the action at Anfield

Challenge: Adam Lallana rides a tackle from Steven Gerrard
No comments:
Post a Comment