Tuesday, September 17, 2013

SHULE YA SEKONDARI YA ILBORU YAFUNGWA NA SEREKALI


 Shule ya Sekondari Ilboru, imefungwa na serikali kufuatia tishio la kuchomwa moto. Hii inatokana na mgogoro wa wanafunzi na waalimu. Wanafunzi 4 wanahojiwa, 800 wamerudishwa nyumbani.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake