Watu 3 wa familia moja wauawa kwa kunyongwa na kuchinjwa Buhongwe Mwanza.
Watu 3 wa familia moja akiwemo mtoto wa miezi 7 wameuawa kwa kuchinjwa na kunyongwa na watu wasiojulikana katika mtaa wa Ihila kata ya Buhongwe Jijini Mwanza usiku wa kuamkia leo
No comments:
Post a Comment