Wednesday, October 2, 2013

Abiria wa basi la Taqwa kutoka Bujumbura kuelekea Dar es Salaam watekwa.

Abiria hamsini na moja waliokuwa wakisafiri na basi la Taqwa kutoka Bujumbura na kuelekea jijini Dar-es-Salaam wametekwa katika kijiji cha Milade wilayani Mkalama na kuporwa mali , simu na fedha zaidi ya shilingi milioni mia mbili hamsini.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake