MINI ZIFF 2013 inafanyika sambamba na Sherehe
za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Tamasha hili dogo litafanyika tarehe 10 -12
Jan, 2014 na kama kawaida ZIFF itatoa tuzo 10 za Filamu kwa waliofanya vizuri
kwa mwaka 2013 katika filamu za Kiswahili (Bongo Movie). Tuzo zitakazotolewa ni
Muigizaji Bora wa Kiume na Kike, Muongozaji Bora, Filamu Bora ya Mwaka,
Muigizaji anayechipukia, Filamu bora katika Sauti, Filamu bora katika Hadithi,
Balozi bora wa Filamu za kitanzania, Kampuni au mtu aliyetoa mchango mkubwa
katika Tasnia hii kwa mwaka huu na Tuzo ya Heshima. Tamasha hili dogo litajumuisha
filamu za kitanzania peke yake (Bongo
movies) ilikuendelea kutoa mwamko kwa watengenezaji filamu wa Tanzania kufanya vyema
katika tasnia hii, Tamasha hili ni utangulizi wa tamasha kubwa la ZIFF
litakalofanyika 14 – 22 Juni, 2014.
Tuzo
zitatolewa baada ya jopo la majaji kupitia kazi zilizoletwa kwaajili ya Mini
ZIFF na pia Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kiume na Kike zitapata kupigiwa kura na wananchi
kupitia namba maalum itakayotolewa hapo baadae kupitia Puch Mobile na hivyo
kufanya watu wote Tanzania nzima kupiga kura.
Mini ZIFF
itaonesha filamu kwa siku mbili na siku ya mwisho Tuzo zitatolewa kwa
walioshinda, pia tunategemea kuwaalika wasanii mbalimbali maarufu kutoka hapa
Tanzania kama JB, Cloud, Steve Nyerere, Ray, Makombora, Simon Mwakifamba,
Monalisa, Wema Sepetu, Irene Uwoya, Lulu na wengine wengi.
Pia tunategemea kufanya show kabambe ya
muziki baada ya kutolewa kwa tuzo, wasanii watakaopanda jukwaani watatangazwa
hapo baadae. Kwa wale wote wanaotaka kuleta kazi zao basi walete sasa ila ziwe
ambazo zimetoka mwaka 2013 tu. Wasiliana na Ibra 0713300997(DAR) au Mohd
0778685676 (ZNZ).
MINI ZIFF 2013 inaletwa kwa udhamini mkubwa
wa ZUKU, Push Mobile, Azam Marine, Filamu Central Clouds TV kupitia kipindi cha
Take One na Clouds FM kupitia kipindi cha Leo Tena.
MINI ZIFF
AND BONGO MOVIES
All Bongo Movies stars will again congregate
in Zanzibar at a Red carpet event to be organized by the Zanzibar International
Film Festival (ZIFF). The likes of Lulu Michael, JB, Wema Sepetu, Irene Uwoya,
Vincent Kigosi (Ray), Mzee Majuto, Cloud, Makombora, Mzee Mvita, and many more
are expected to be invited to the event where the best actors and films will be
awarded.
ZIFF has announced the 2013 Edition of Mini
ZIFF is to be held at the Old Fort (Ngome Kongwe) in Zanzibar between 10 and 12thJanuary
2014. The Mini festival will be held alongside the 50th Anniversary
celebrations of the Zanzibar revolution. The Annual Mini ZIFF is a curtain
raiser to the ZIFF main festival, which will be held in 14th -22nd
June 2014. The main ZIFF event is funded by ZUKU through a ten-year
sponsorship.
The Festival Manager, Dean
Nyalusi said that the Mini festival focuses on Swahili language films better
known as Bongo Movies as encouragement to Tanzanian filmmakers to enter their
films in the international edition of ZIFF. 10 nominated films will compete and
2 of those will get automatic selection to the main ZIFF competition. Categories
to be awarded includes Best Actor and Best Actress, Best Director,
Best Feature Film, Best Upcoming Actor/Actress, The Company that has helped
film industry to grow further in Tanzania, Best Film in Sound, Best
Story/Script, Best Ambassador of Tanzanian Film Industry and Life Time
Achievement Award. These awards will be only for the films that have been
released in 2013.
As is tradition with the Festival of the Dhow
Countries there will also be a music component showcasing local talents on the
last day after the awards at Old Fort Amphitheatre. The award ceremony will be
on Sunday 12th January to coincide with the midnight celebrations
marking the 50th Anniversary of the Zanzibar Revolution.
This Mini ZIFF is proudly sponsored by ZUKU,
Azam Marine, Filamu Central, Push Mobile, Clouds TV (Take One) and Clouds FM
(Leo Tena). For submission please contact with Ibra 0713300997(DAR) au Mohd
0778685676 (ZNZ).
No comments:
Post a Comment