Friday, January 3, 2014

CHADEMA WAFANYA KIKAO CHA KAMATI KUU LEO JIJINI DAR

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa (kushoto) na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Said Issa Mohamed wakati wa Kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika jijini Dar es Salaam leo.

Wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu.

2 comments:

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake