Tuesday, April 22, 2014
GIGGS ACHUKUA MIKOBA YA MOYES
Mchezaji wa siku nyingi wa Manchester United Ryan Giggs (pichani) ndie kocha wa Man U kwa sasa tangia kuenguliwa kwa aliyekuwa kocha wa timu hiyo David Moyes hapo jana.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake