ANGALIA LIVE NEWS

Saturday, May 10, 2014

DIAMOND AFUNGUKA NA KUSEMA KUWA (SIJATOA WIMBO) KWANINI KASEMA HIVYO JITIRIRISHE

Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa kwenye mfumo wa Voicenote, yaani haina quality kabisaa… Tafadhari, kwa yoyote atakaeipata Asiitumie kwenye media ama hadhara, kwasababu Haijatoka na haiko Qualified….

No comments: