Monday, July 14, 2014

Aliyekuwa mkurugenzi TPA Ephraim Mgawe na mwenzake wapandishwa kizimbani.


Aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, wamefikishwa katika mahakamani wakikabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi kampuni ya ujenzi ya China communications Ltd bila kutangaza zabuni

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake