Monday, July 14, 2014

Mabango ya tiba asili na mbadala yaondolewa.

Wizara ya afya na ustawi wa jamii idara ya tiba imeondoa mabango ya waganga wa tiba asilia na tiba mbadala zilizozagaa katika manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam zikipotosha wananchi kwa kujinadi kutibu magonjwa mbalimbali na kusababisha uchafuzi wa mazingira.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake