Advertisements

Sunday, August 3, 2014

SHOW YA CHAMELEONE DODOMA

Chameleone akiwapagawisha mashabiki wake mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo.
Msanii Y-Tony naye alikuwepo kutoa burudani kwa mashabiki ndani ya Maisha Club, Dodoma.
Mashabiki wakipagawa na shoo ya Chameleone.

(Picha na Pamoja Blog)

No comments: