Friday, October 10, 2014

DK. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA ZANCHICK

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kiongozi wa Kampuni ya ZANCHICK inayojishughulisha na biashara ya kuuza kuku (Perdue) kutoka Marekani Dk. David Elua akiwa na ujumbe wa kampuni hiyo ulipofika Ikulu Mjini Unguja jana kwa mazungumzo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Kampuni ya ZANCHICK inayojishughulisha na biashara ya kuuza kuku (Perdue) kutoka Marekani unaoongozwa na Dk. David Elua katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana. [Picha na Ramadhan Othman Ikulu, Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake