Wednesday, October 15, 2014

VIJANA WA FOREST MBEYA WAMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUFANYA USAFI

Vijana wa kata ya Forest jijini Mbeya wameungana pamoja bila ya kujali itikadi zao za kisiasa na kufanya usafi maeneo yote yanayozungu  kata yako ya Forest kumuenzi Baba wa taifa zoezi hili litaendelea zaidi ya wiki mbili pia wameahidi kumchukulia hatua mtu yeyote yule atakaekiuka kanuni sa usafi kata hiyo ya Forest 
Hongereni sana vijana wa Forest kwa mfano huo Mbeya yetu tunawapongeza sana  tunaomba vijana wa kata nyingine igeni mfano huu siyo kila siku tuwategemee Halmashauri ya jiji waje watufanyie usafi
Pia vijana hawa wanawashukuru wadau mbalimbali waliojitokeza kuwasaidia vifaa vya kufanyia kazi pamoja na maji ya kunywa
Baadhi ya Vijana wa kata ya Foret wakiwa katika picha ya pamoja
Mbeya Yetu

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake