Katika kusherehekea siku kuu ya Krismasi wakazi wa jiji la Mwanza wengi wao starehe yao ilikuwa kupiga picha za kumbukumbu kutokana na mwaka 2014 kuelekea ukingoni huku baadhi yao wakitumia fursa hiyo kuzunguka maeneo mbalimbali jijini hapa lakini gumzo zaidi ilikuwa ni umati wa watu waliokuwa wamesimama nje kidogo ya eneo la kusafishia picha jambo ambalo lilileta uhalisia kwamba kweli leo ni siku ya Krismasi.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake