Thursday, July 16, 2015

LOWASSA AJIANDIKISHA KWENYE BVR KIJIJINI KWAKE MONDULI

Waziri mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli aliyemaliza muda wake akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura BVR kijijini kwake Ngarash Monduli jana Jumatano. Uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake