Saturday, July 18, 2015

Mahojiano na Zahir Ally Zorro kuhusu kifo cha mwanamuziki BanzaStone

Photo Credits: Bongo5.com
Katika kipindi cha MISHUMAA YA KALE (bofya hapa kukifuatilia) cha Julai 17, 2015, tulipata fursa ya kipekee kuzungumza na msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Zahir Ally Zorro, kuzungumzia kuhusu maisha na kifo cha msanii mwenzake Ramadhan Masanja, maarufu kama BanzaStone
Msikilize

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake