Polish wasitisha maandamano kwenye kutafuta wadhamini Magufuli alipita kote na misafara Lakini mnaona ya Lowassa ni mikubwa na Watu wa ngazi zote wapo Polisi Tanzania si ya CCM tutaandamana Kama alikopita Magufuli
wewe Admin kama sio hizi sharia za mitandaoni leo ningekuvunjia heshima, maana umechoka kujiheshimu, kwa kutuwekea habari na picha zisizo sahihi kama watoto wadogo,,wewe huo kama picha zote hizo zimekua edited, angalia background zake, upande mmoja unafanana upande mwengine haufanani,, angalia watu walivyoelekea kumsikiliza huyo makufuli,, wametofautiana muelekeo, na ubanie hii comment
Utawala wa kidhalimu wa ccm mnafikiri watu watakuoneeni huruma na hizo kauli zenu za kipumbavu. Udhalimu waulize ndugu zetu wamarekani weusi jinsi kila kukicha vijana wanavyopetesha maisha yao kwenye mikono ya dola bila hatia halafu wao ndio wanaishia kuwa na makosa ya kubambikiwa . Halafu hizo ndizo serikali mnazozitolea mifano kwa utakatifu ulotukuka wa kidemokrasia poleni sana msiejua mnachokizungumza.
Hapo ni chama kimoja tu sio muunganiko wa chamaa jamani CCM Rahaaaaaa,,,
ReplyDeleteGlob hi Mali ya CCM
ReplyDeleteMbona mnamndakia Lowassa
Tusidanganyane swala sio Magufuli Pombe swala ni utawala dhalimu CCM na Viongozi wake wakuu. Tunaba radhi waTanzania wamechokaaah.. Kieleweke hivyo.
ReplyDeleteHizo ni picha za Mwanza mara baada ya kupitishwa na ccm... Hahahha.
ReplyDeletePolish wasitisha maandamano kwenye kutafuta wadhamini
ReplyDeleteMagufuli alipita kote na misafara
Lakini mnaona ya Lowassa ni mikubwa na Watu wa ngazi zote wapo
Polisi Tanzania si ya CCM tutaandamana Kama alikopita Magufuli
mimi naona watoto tu wamejaa hapo,CCM mnasikitisha kweli.
ReplyDeletemimi naona watoto ndio wamejaa hapo,CCM mnasikitisha kweli.
ReplyDeletekweli UKAWA nuksi jamma imebidi waanze kampeni kabla ya wakati.
ReplyDeleteJamani naomba kujuzwa! Mbona hawa watu kuanzia kwa askari mwenye kofia nyekundu wamegeuka upande mwengine, Na nyuma yake wamegeuka upande mwengine??
ReplyDeleteWaongo hao hiyo pic ni yazamani...dom hatumtaki huyo..hana mvuto pict yskutengeneza
DeleteMe naisho dodoma tuekezeni nisehem gani dom..hatumtaki huyo makufuli dodoma
ReplyDeletewewe Admin kama sio hizi sharia za mitandaoni leo ningekuvunjia heshima, maana umechoka kujiheshimu, kwa kutuwekea habari na picha zisizo sahihi kama watoto wadogo,,wewe huo kama picha zote hizo zimekua edited, angalia background zake, upande mmoja unafanana upande mwengine haufanani,, angalia watu walivyoelekea kumsikiliza huyo makufuli,, wametofautiana muelekeo, na ubanie hii comment
ReplyDeleteSasa huyu anasema sio hiyo dodoma ni mwanza. Mwengine anasema ash hao wote watoto? Mnaingia mchecheto hata bado
ReplyDeleteUtawala wa kidhalimu wa ccm mnafikiri watu watakuoneeni huruma na hizo kauli zenu za kipumbavu. Udhalimu waulize ndugu zetu wamarekani weusi jinsi kila kukicha vijana wanavyopetesha maisha yao kwenye mikono ya dola bila hatia halafu wao ndio wanaishia kuwa na makosa ya kubambikiwa . Halafu hizo ndizo serikali mnazozitolea mifano kwa utakatifu ulotukuka wa kidemokrasia poleni sana msiejua mnachokizungumza.
ReplyDeleteOna wanavyotapatapa na bado mtanyooka tu chezee mafuriko ya lowasa, tumewachoka ondokeni hamna jipya
ReplyDeleteCCM kweli ndorobo wameunganisha unganisha picha mbili tofauti ili mradi tu watu waone mna watu hamuwezi kuzuia mafuriko ya Lowasa nyie
ReplyDelete