Maalimu seif Punguza Jazba na Munkal ndoto za mwendazimu hizo wewe kwa zaidi ya miaka 20 unagombea uraisi wa Zanzibar mpaka unazeekea katika ndoto yako? sasa kwa nini usimpishe mwingine? Sasa kauli yako inakusuta kuwa gazeti liliotangaza Prof: Lipumba kama uzushi mbona kaachia ngazi?
weee babu wakati unakusuta tena wapishe wenzio kinganganizi wewe!1 Mwalimu Nyerere angeweza kuitawala Tanzania hata kwa miaka 50 lakini pamoja na kwamba wananchi walikuwa wakipenda aendelee kuwa Rais yeye aliamua kungatuka. wewe unatuletea kisingizio wananchi wanakutaka, miaka 20 unashindwa tuuuuuu na hukubali kushindwa labda mpaka kaburini utaendelea kudai ushindi, shame on you unaitia dosari demokrasia. umeezeeka vibaya step down usiwe kama Gadafi na Mugabe
Maalimu seif Punguza Jazba na Munkal ndoto za mwendazimu hizo
ReplyDeletewewe kwa zaidi ya miaka 20 unagombea uraisi wa Zanzibar mpaka unazeekea katika ndoto yako? sasa kwa nini usimpishe mwingine? Sasa kauli yako inakusuta kuwa gazeti liliotangaza Prof: Lipumba kama uzushi mbona kaachia ngazi?
Prof Lipumbu ni msaliti ndiyo maana gazeti la sisiemu liliandika kwanza lakini mwaka huu hakidhulumiwi kitu hapa mshindi mbelembele.
ReplyDeleteweee babu wakati unakusuta tena wapishe wenzio kinganganizi wewe!1 Mwalimu Nyerere angeweza kuitawala Tanzania hata kwa miaka 50 lakini pamoja na kwamba wananchi walikuwa wakipenda aendelee kuwa Rais yeye aliamua kungatuka. wewe unatuletea kisingizio wananchi wanakutaka, miaka 20 unashindwa tuuuuuu na hukubali kushindwa labda mpaka kaburini utaendelea kudai ushindi, shame on you unaitia dosari demokrasia. umeezeeka vibaya step down usiwe kama Gadafi na Mugabe
ReplyDelete