Mr. TZ akifanya makamuzi ya nguvu kwenye tamasha la Pan African lililofanyika siku ya Jumamosi Septemba 26, 2015 Downtown Silver Spring, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na watu kutoka mataifa mbalimbali.
Mr. TZ akifanya vitu vyake.
Umati ukifuatilia makamuzi ya Mr. TZ
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake