Friday, September 18, 2015

Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?


Mbunge sharobaro kutoka Kenya Mike Mbuvi Sonko na Mwenzake Moses Wetang'ula, wamesema wako tayari wakatwe mishahara yao ili serikali iweze kulipa mishahara ya walimu wanayodai.

Unadhani nini kifanyike kutatua matatizo ya walimu Tanzania?

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake