Saturday, October 3, 2015

JK AAGWA RASMI NA TANZANIA PRIVATE SECTOR FOUNDATION

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam kwa hafla maalum iliyoandaliwa kumuaga rasmi na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) usiku huu.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Dkt. Reginald Mengi katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam kwa hafla maalum iliyoandaliwa kumuaga rasmi na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) usiku huu.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wadau alipowasili katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam kwa hafla maalum iliyoandaliwa kumuaga rasmi na Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) usiku huu.
























































































1 comment:

  1. ASANTE,VPI KUHUSU ZAWADI KWA MHESHIMIWA MLIMPA,MBONA MMEGUGUMIA,BE CLEAR,TALK.

    ReplyDelete

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake