Saturday, October 3, 2015

RAIS ALIPOKUTANA NA MADEREVA LEO UBUNGO PLAZA JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutuba madereva kwenye mkutano uliofanyika leo Jumamosi Octoba 3, 2015 jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake