Thursday, November 12, 2015

KATIBU MKUU WA CCM CONVENTION CLUB MASOUD MAFTAH AKIWA KWENYE KIKAO RAMADA HOTEL

 Katibu mkuu wa CCM Convention Club  mwana Diaspora Masoud Maftah akiendesha kikako cha kwanza cha vijana ndani ya Hotel ya Ramada Dar-Es-Salaam. Maudhui ya kikao hicho ni kupanga mikakati ya jinsi ya kupata wana chama zaidi hili kukiimarisha chama na pia kuzungumzia tatizo la ajira kwa vijana.
Vijana na wanachama wakimsikiliza katibu wao Maftah 

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake