Advertisements

Wednesday, August 24, 2016

DKT. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA DIASPORA KISIWANI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) na Viongozi mbali mbali akiwepo Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Amani Abeid Karume (kushoto) wakisimama wakati Wimbo wa Taifa Ukipigwa kabla ya kufungua Kongamamo la 3 la Watanzania wanaoishi Nje ya Nchi "Diaspora",katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort leo Agosti 24, 2016. (PICHA NA IKULU ZANZIBAR)
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Issa Haji Ussi (Gavu) alipokuwa akitoa maelezo na madhumuni ya Kongamano la Watanzania wanaoishi Nje ya nchi "Diaspora"katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort,ambalo limefunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Wajumbe wa Kongamano la siku mbili la Watanzania wanaoishi Nje ya nchi "Diaspora"katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) alipotoa hutuba yake ya ufunguzi wa Kongamano hilo lililofunguliwa leo
Wajumbe wa Kongamano la siku mbili la Watanzania wanaoishi Nje ya nchi "Diaspora"katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) alipotoa hutuba yake ya ufunguzi wa Kongamano hilo lililofunguliwa leo
Wajumbe wa Kongamano la siku mbili la Watanzania wanaoishi Nje ya nchi "Diaspora"katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) alipotoa hutuba yake ya ufunguzi wa Kongamano hilo lililofunguliwa leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Nd,Adila Vuai mara alipowasili viwanja vya Hoteli ya Zanzibar Beach Resort leo kufungua Kongamamo la 3 la Watanzania wanaoishi Nje ya Nchi "Diaspora".
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe,Dkt.Augustine Mahiga (kulia) mara alipowasili viwanja vya Hoteli ya Zanzibar Beach Resort leo kufungua Kongamamo la 3 la Watanzania wanaoishi Nje ya Nchi "Diaspora
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mhe,waziri Mkuu Mstaafu na Balozi Salim Ahmed Salim,mara alipoingia katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort leo kufungua Kongamamo la 3 la Watanzania wanaoishi Nje ya Nchi "Diaspora"

No comments: