Advertisements

Monday, September 5, 2016

MASHABIKI WAVAMIA UWANJANI NA KUMUANGUSHA NEYMAR MAZOEZINI


Mchezaji nyota wa timu ya Barcelona Neymar amevamiwa na mashabiki akiwa mazoezini nchini Brazil wakati timu ya taifa ikianza mazoezi, kujiandaa na mchezo dhidi ya Colombia.



Vijana wawili walivamia kiwanjani na kumkumbatia kwa furaha kiasi ya kujikuta wakianguka chini na mchezaji huyo ambaye alionekana kutokukerwa na kitendo hicho.
   Neymar akianguka chini baada ya kukumbatiwa na mashaniki wawili 
   Walinzi na wasaidizi wa timu wakijaribu kuwaondoa mashabiki hao waliomuangusha Neymar

No comments: