Advertisements

Sunday, October 23, 2016

RATIBA YA MAZISHI YA JACOB ELINAZA

Ratiba ya mazishi Jacob Elinaza yatakayo fanyika Oktoba 24,2016 nyumbani kwao Segerea jijini Dar es Salaam.

1. Mwili wa marehemu utafika saa 11:30 am 
2. Chakula cha mchana kuanzia 12:00pm 
3. Kuaga mwili wa marehemu kuanzia saa 2:30pm 
4. Ibada ya mazishi itaanza kuanzia 4:00pm 
Kila kitu kitakuwa nyumbani kwetu segerea kwa mama 
*Maelekezo* ya kufika

Unashuka kituo  cha Oil com segerea anachukua pikipiki unasema wakupeleke kwa msoji mwanajeshi au kwenye msiba kwa Elinaza 
    
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE.

No comments: