JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
JESHI LA POLISI TANZANIA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MATOKEO YA OPERESHENI MAALUM ILIYOFANYIKA MJINI MAGHARIBI- ZANZIBAR, KUANZIA TAREHE 14 – 21.03.2018
Ndugu Wanahabari,
- UTANGULIZI ;
Hata hivyo Serikali ipo kwenye vita kali ya kupambana na mtandao wa madawa ya kulevya na Inspekta Jenerali wa Polisi kwa kushirikiana na Kamisheni ya Polisi Zanzibar waliunda timu kutoka Kitengo cha Operesheni Maalum za Polisi Makao Makuu Dar es salaam kuja kuongeza nguvu katika ufuatiliaji wa kero hii kama ilivyo kwenye maeneo mengine ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- MATOKEO YA OPERESHENI ;
S/N
|
MAFANIKIO
|
MATOKEO / IDADI
|
TAARIFA ZA INTELIJENSIA
| ||
Kupatikana kwa taarifa za watuhumiwa wanaojihusisha na mtandao wa madawa ya kulevya (kutumia, kuuza, kufadhili au kusaidia)
|
105
| |
JUMLA KUU
|
105
| |
WATUHUMIWA WALIOPATIKA NA HATUA
| ||
Watuhumiwa waliofikishwa Mahakamani
|
26
| |
Watuhumiwa waliopo chini ya Upelelezi
|
16
| |
Watuhumiwa waliopo chini ya uangalizi wa Polisi (Police Supervisee)
|
16
| |
JUMLA KUU
|
58
| |
VIELELEZO
| ||
Heroin
|
Kete 1293 na Vifuko 3 sawa na
Gramu 74.385
| |
Banghi (Vifurushi)
|
373
| |
Banghi (Vifuko)
|
3
|
- WITO :
Aidha nawapongeza wananchi wote waliotoa ushirikiano wa kutoa taarifa za uhalifu huu bila ya kuona muhali. Niwaombe wananchi wote kuendelea na ushirikiano huu wa kutoa taarifa.
Mwisho natuma salamu kwa watuhumiwa wote waliotoroka kule walipo wajue kuwa wanatafutwa na watakamatwa ili wahojiwe na hatimae kufikishwa Mahakamani.
Ahsanteni sana kwa kunisikiliza
Liberatus Sabas – DCP
Mkuu Wa Uperesheni Maalum za Polisi Tanzania
21.03.2018
No comments:
Post a Comment