ANGALIA LIVE NEWS

Monday, November 26, 2018

MSIBA NYUMBANI TANZANIA


Kwa majonzi makubwa tunasikitika kuwajulisha  kuwa Joyce Salala amefiwa na Baba yake mzazi mzee Faustin Stantislaus Charles, leo 11/26/2018 huko nyumbani Tanzania.

Joyce anasafiri kesho Tuesday, 11/27/2018 kwenda nyumbani Tanzania 

Joyce anapatikana kwa namba 914 482 2657 wale ambao watapenda kufariji na kumpa pole.

Tel: 914 482 2657

Address : 27 Claremont Ave,

Apt #3M

Mt Vernon, NY 10550

"Omba Mungu akuondolee hofu maana kila alifanyalo ni jema na kamilifu " RIP Mzee Chale.

Bandugu wale watakao shindwa kufika Leo kutoka na sababu zisizo zuilika 👇🏽here is the link kama utaguswa kila mtu kwa

No comments: