Tuesday, February 5, 2019

SPIKA WA BUNGE AKIZUNGUMZA NA WAZIRI MKUU OFISINI KWAKE JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (kushoto) akiteta jambo na Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (kulia) mapema leo  Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE.

No comments:

Post a Comment

bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake