Advertisements

Wednesday, July 1, 2020

MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA YA KICHAMA MKOA WA KASKAZINI UNGUJA

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Kaskazini Unguja alipowasili katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja iliopo Mahonda leo Julai 01,2020. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Mkoa wa kaskazini Unguja.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM MKoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akizungumza nao katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini iliopo Mahonda leo Julai 01,2020. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Mkoa wa kaskazini Unguja. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ya Mkoa wa Kaskazini Unguja katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini iliopo Mahonda Unguja leo Julai 01,2020. Makamu wa Rais yupo katika ziara ya Kichama Mkoa wa kaskazini Unguja. kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Idi Ali Ame.

No comments: