Aidha washindi watakaopatikana leo watashiriki Mashindano ya KAIZEN kwa Africa nzima yanayotarjiwa kufanyika mwezi Juni 2021 nchini Tanzania.
Mashindano haya ya KAIZEN yanafanyika leo tar. 4 Februari, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa Makumbusho ya Taifa Dar es salaam ambapo wenye Viwanda wanawasilisha jinsi walivyotekeleza falsafa ya KAIZEN katika maeneo yao ya kazi.
No comments:
Post a Comment