
Katika mahojiano na BBC Swahili, ameeleza serikali inachosema ni Tanzania imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kudhibiti maambukizi ya #COVID19 kwa njia za kisayansi na za asili. Pia, serikali ilikuwa makini tangu mapema.
Aidha, amesema Tanzania haijadharau chanjo za corona na kufafanua kuwa chanjo nyingi zipo katika majaribio, hivyo ni vyema zikaendelea kufanyiwa majaribio ili usahihi wake wa kisayansi uweze kuthibitika.
Amesema: “Dunia nzima kuna kelele, yapo maeneo hizo chanjo zimeleta athari kubwa kwenye afya ya binadamu. Sisi kama nchi hatuwezi kuwa sehemu ya majaribio.
No comments:
Post a Comment