ANGALIA LIVE NEWS
Wednesday, January 31, 2024
AFRIKA TUMIENI VEMA FURSA ZA SOKO LA AFCFTA
TANZANIA YAPOKEA MSAADA WA Sh. TRIL 1.4 KUTOKA GLOBAL FUND
WAZIRI MAKAMBA ANADI FURSA ZA BIASHARA, UWEKEZAJI ITALIA
SERIKALI YAANZA KUFANYA TATHIMINI KUBAINI MAENEO YATAKAYOBORESHWA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MAZINGIRA

SERIKALI YAWALIPA WAZABUNI TRIL 2.1 KWA MWAKA 2016 HADI 2023

TANZANIA YASISITIZA MPANGO WA MATTEI UZINGATIE MAHITAJI STAHIKI YA AFRIKA
.jpg)
Tuesday, January 30, 2024
RAIS SAMIA AZINDUA UGAWAJI WA VIZIMBA VYA KUFUGIA SAMAKI NA BOTI ZA KISASA KWA AJILI YA WAVUVI WA KANDA YA ZIWA, JIJINI MWANZA

WAJUMBE TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI WATEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA SHERIA DODOMA
WAZIRI KAIRUKI ATOA MAAGIZO MAZITO KWA TANAPA KWENYE UAPICHO WA KAMISHINA KUJI
KAMISHNA GENERALI WA DAWA ZA KULEVYA AIPONGEZA OFISI YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI
AMUUNGUZA KWA MAFUTA YA MOTO JIRANI KISA KWANINI AMEIGA KUSUKA MTINDO WAKE WA NYWELE
WAZIRI MBARAWA AITAKA TANROADS KUSIMAMIA JENGO LA ABIRIA TABORA
VETA SINGIDA YAISHUKURU EWURA KWA MAFUNZO


UWT ZANZIBAR YAMPONGEZA DKT MWINYI KWA KUONGEZA IDADI YA WANAWAKE KATIKA SAFU YA VIONGOZI
WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI WAPATIWA ELIMU KUJIKWAMUA NA UMASIKINI
Monday, January 29, 2024
WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA ITALIA
MAWAZIRI WA NISHATI TANZANIA, ZAMBIA WAJADILI UJENZI WA BOMBA JIPYA LA MAFUTA
UTOAJI HATI ZA UMILIKI ARIDHI WASITISHWA ARUSHA,NI UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA WAZIRI WA ARIDHI
TANZANIA KUNUFAIKA NA MIRADI YA MPANGO WA MATTEI (TANZANIA TO BENEFIT FROM MATTEI PLAN PROJECTS)
TPA YAIKABIDHI KAMPUNI YA ANOVA CONSULTING ENEO ITAKAPOJENGA BANDARI MBAMBA BAY
MELI 13 ZINAHUDUMIWA MUDA HUU BANDARI YA DAR ES SALAAM
*Hizi hapa dondoo 15 muhimu za kuzingatia dhidi ya propaganda hasi kwa bandari ya DSM
1.Magati yote 12 pamoja na maeneo ya kuhudumia shehena za mafuta yanahudumia meli hadi kufikia muda huu wa leo tarehe 28 Januari 2024, tofauti na wapotoshaji wanaoposha kwa makusudi kuwa ni magati mawili (2) tu ndio yanayofanya kazi kati ya magati 12 yaliyopo.
2.Taarifa zinaonesha ukweli halisi watu wakichapa kazi katika magati yote 12 na kuongeza ufanisi. Kwa mfano, Gati namba Sifuri (0) ambalo ni mahsusi kwa kushusha shehena ya magari nalo linahudumia meli MV Yangze 32 ya mizigo mchanganyiko.
3. Idadi na wingi wa meli bandarini unabadilika ukiona leo foleni meli 20 na keshokutwa ukaona meli 20 haina maana ni zilezile maana yake kuna meli zimehudumiwa na nyingine zimekuja kutaka kuhudumiwa.
4. Ni sawa na shuleni mtu anaweza kuhoji mbona kila mwaka shule zinakuwa na wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne. Maana yake ni kuwa kadri wengine wanavyomaliza shule ndivyo wengine wanaanza shule, wa kidato cha nne akimaliza wa kidato cha tatu anapanda cha nne, wa cha pili anapanda cha tatu, wa cha kwanza anapanda cha pili na aliyemaliza shule ya msingi anapanda cha kwanza ni mzunguko. Ndivyo mzunguko wa meli unavyokuwa





.jpeg)
.jpeg)



.jpg)
.jpg)


.jpeg)
.jpeg)





.jpeg)



.jpeg)