Sunday, July 28, 2024
WAZIRI KOMBO APOKEA 'KIJITI' KUTOKA KWA MAKAMBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameanza kazi rasmi katika ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam baada ya makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Waziri, Mhe. January Makamba (Mb.).
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment