ANGALIA LIVE NEWS

Thursday, June 16, 2011

KONGAMANO LA UMISHENI


kutakuwa na kongamano la umisheni la siku tatu hapa kanisani
    kuanzia tar.17-19/6/2011 siku ya Ijumaa hadi Jumapili. Muda wa 
    wa kuanza kongamano ni saa 12:00 jioni kwa siku za Ijumaa na 
    Jumamosi. Jumapili tunaanza saa4 asubuhi hadi jioni ya saa12.


Mchungaji Malekela MJ
     Kanisa la Assemblies of God
      12805 Georgia Avenue,
       Silver Spring MD 20906
Simu: 202 520 3243,
**  wote mnakaribishwa sana**

No comments: