Friday, November 14, 2025
Saturday, June 3, 2023
ZAIDI YA WATU 200 WAFARIKI KWENYE AJALI YA TRENI INDIA
JKT YAKANUSHA UVUMI WA HABARI ZA UPOTOSHAJI KUHUSU MAFUNZO YA VIJANA KWA MUJIBU WA SHERIA
WAZIRI PROF. MKENDA ATAKA VYUO VIKUU NCHINI KUIMARISHA UBORA WA ELIMU
AFISA MANUNUZI AWEKWA NDANI MANYONI
KATIBU MKUU WIZARA YA MADINI AKUTANA NA WATENDAJI WA TAASISI ZILIZO CHINI YA WIZARA YAKE
Kikao hicho cha Wadau wa Ndani wa Takwimu za Sekta ya Madini kililenga kujadiliana namna Bora ya Uzalishaji, Uchakataji na Usambazaji wa Takwimu na Taarifa zinazohuzu Sekta ya Madini ikiwemo Ukuaji na Mchango wa Sekta katika Pato la Taifa.
KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI DAR WAPEWA GARI JIPYA KWAAJILI YA KAZI MBALIMBALI ZA USALAMA BARABARANI
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP. MULIRO J. MULIRO amesema tafsiri ya maendeleo ya kiusalama yanapimwa kwa namna ambavyo watu wanaliami na kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kulisaidia Jeshi hilo kufanya kazi kwa weledi.
.jpeg)
WATALII WA UWINDAJI WA KITALII WAONGEZEKA NCHINI, REKODI YAVUNJWA,..HAIJAWAHI KUTOKEA
WAZIRI DKT. CHANA ATETA NA KATIBU MKUU CAF
Na Shamimu Nyaki
Thursday, June 1, 2023
SERIKALI IMEWAKARIBISHA WAWEKEZAJI WA BURUNDI KUWEKEZA TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka nchini Burundi wenye lengo la kuwekeza nchini Tanzania wakati alipowasili katika mji wa Bujumbura nchini Burundi kuhudhuria Mkutano wa Dharura wa 21 wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
WAZIRI TAX AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA URUSI NCHINI
TASAF KUNUFAIKA NA MSAADA WA SH. BIL 15 KUTOKA UINGEREZA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba, akizungumza kuhusu utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini, wakati wa hafla ya makabidhiano ya hati za msaada wa takribani shilingi bilioni 15 kwa ajili ya Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF), iliyofanyika jijini Dodoma.

Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar, akizungumza kuhusu nchi yake kuendelea kuisaidia Tanzania katika kupunguza umasikini, wakati wa hafla ya kubadilishana hati ya makubaliano ya msaada wa takribani shilingi bilioni 15 kwa ajili ya TASAF, iliyofanyika jijini Dodoma.

Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba (kushoto) na Ujumbe wa Uingereza Ukiongozwa na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. David Concar, wakati wa hafla ya makabidhiano ya hati ya makubaliano ya msaada wa takribani shilingi bilioni 15 kwa ajili ya Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF), hafla iliyofanyika jijini Dodoma
WAKUU WA WILAYA NA WAKURUGENZI SIMAMIENI HUDUMA ZA WAZEE NA ZA MAMA NA MTOTO - DKT. MOLLEL
NAIBU WAZIRI wa afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kusimamia huduma za afya ya mama na mtoto na kuhakikisha vituo vyote vya kutolea huduma za afya nchini kuanzia zahanati mpaka hospitali ya Rufaa ya taifa kuwa na dirisha maalumu kwaajili ya kuwahudumia wazee ili kuepusha usumbufu unaowakumba.
RAIS DKT.MWINYI AZINDUA KAMATI YA KUZUIA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuzindua Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar (kushoto ) Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Mhe.Mgeni Jailani Jecha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sheria, Katiba,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman.(Picha na Ikulu)


DC SIMANJIRO DK SERERA AZINDUA TUZO YA MALKIA WA MADINI
Wednesday, May 31, 2023
WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUENDELEA KUTOA ELIMU KUHUSU CHANJO
VIONGOZI WA DINI KAGERA WATAMANI RC FATMA MWASSA AANZE NA HAYA SUGU
RAIS DKT. MWINYI AZINDUA KAMATI YA MARIDHIANO KATI YA CCM NA ACT -WAZALENDO IKULU ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wa Chama cha ACT-Wazalendo, wakati akizindua Kamati ya Maridhiano Kati ya CCM na ACT –Wazalendo, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 31-5-2023, na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya na Wajumbe wa Kamati ya Maridhiano Kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha ACT-Wazalendo, baada ya kuizindua kamati hiyo leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais)Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman na Naibu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo Mhe. Nossor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa.(Picha na Ikulu)
DKT. NCHEMBA AWAAGIZA WATAALAM WA UCHUMI WA KITAIFA NA KIMATAIFA KUTAFUTA SULUHU YA UPUNGUFU WA DOLA ZA MAREKANI KATIKA SOKO LA FEDHA
Na Farida Ramadhani-Dodoma
MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AKUTANA NA RAIS WA BURUNDI NDAYISHIMIYE
RAIS DKT. MWINYI AZUNGUMZA NA MWAKILISHI MKAAZI WA UNDP BI.CHRISTINE MUSISI IKULU ZANZIBAR


MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Sikonge Joseph Kakunda kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Mei 31, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
SERIKALI KUWEZESHA HUDUMA ZA KIBENKI KIMATAIFA
DK.MWINYI AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI NCHINI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia pichani) akimsikiliza Mwandishi Mwandamizi Ndg.Salim Said Salim (kushoto) akimsikiliza katika mazungumzo yanayohusu masuala ya ziara yake Nchini Qatar hivi karibuni na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbali mbali vya Serikali na Binafsi yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 30/05/2023.