ANGALIA LIVE NEWS

Tuesday, June 21, 2011

Ubalozi Kuandaa
Pati Kuuubwaa ya Miaka 50 ya Uhuru Sept 23-25
kufanyika Washington,DC,
Njenje,Mzee Yusufu Kutumbuiza
Habari zaidi wapi itakapofanyikia,Ubalozi wetu utatoa taarifa baadae

2 comments:

Anonymous said...

Kwani Uhuru ni September ?

Anonymous said...

no sio september lkn wanafanya hivyo kutokana na hali ya hewa wasifanye kipindi cha baridi