ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, June 22, 2011

VOA - Hoja kwa Hoja

Wabunge Juma Nkamia wa CCM na Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA walumbana katika "Hoja kwa Hoja" kuhusu posho za wabunge. Mjadala kamili utakuwa katika mtandao wa www.voaswahili.com Jumapili June 26 kwa sasa sikiliza Hoja kwa Hoja kwa kubofya Hapa

No comments: