Monday, August 13, 2012

PICHA ZA HARUSI YA JULIUS NA HANNAH

 Juu na chini ni Bwana na Bi Harusi wakiwa na nyuso za furaha baada ya harusi yao iliyofanyika Dar Es Salaa,Tanzania Jumamosi Aug 11, 2012 katika kanisa la Kanisa Mennonite la Upanga na baadae Reception Kunduchi Beach Hotel and resort
 Bwana Harusi Julius akiwa na ndugu, jamaa na marafiki waliojumuka nao kwenye harusi yake na Mkewe Hanah
 Julius akiwa na marafiki zake wa Ugaibuni na Bongo
 Bwana Harusi (kati) akiwa na familia ya Chacha
Bwana Harusi akiwa na familia yake kutoka kushoto ni mdogo wake Veronica, Julius (bwana harusi) Mama Mzazi na kaka yake Jenge.

2 comments:

Anonymous said...

Congratulations Makiri and Hannah may god bless your union.

Anonymous said...

And what about your daughter, hmm? Never thought of her during all of this? You're a disgrace.