Jeshi la polisi mkoani Tanga limemtia mbaroni mfanyabiashara Omary Mandia baada ya kumkuta akiwa na cd na dvd za uchochezi zipatazo 122 ambazo baadhi yake zimekutwa zikiwa na mahubiri yenye lugha za kukashifu dini tofauti hatua ambayo inaweza kusababisha machafuko miongoni mwa jamii.
No comments:
Post a Comment