Mchungaji Peter Msigwa na watuhumiwa wengine 75 wamefikishwa mahakamani.
Mbunge wa Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa na watuhumiwa wengine 75 wamefikishwa mahakama ya wilaya Iringa na kusomewa mashtaka matatu kuhusu vurugu zilizotokea jumapili mjini Iringa.
No comments:
Post a Comment
bila kutumia lugha ya matusi na kumharibia mtu siku
yake