ANGALIA LIVE NEWS

Wednesday, January 15, 2014

Rais Kikwete amjulia hali Waziri Haroun Ali Suleiman

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete  wakimjulia hali Waziri wa nchi Afisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma wa Serikali ya Mapinduzi  ya Zanzibar(SMZ) Bwana Haroun Ali Suleiman aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam, Jumapili Jan 12, 2014 (picha na Freddy Maro)

No comments: